Simba Wazidi Kupata Matokeo Mabaya Hadi Huruma, Ihefu Wawakazia Kibabe Hasa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Simba na Ihefu Wametoshana Nguvu Kwa Goli 1 Kwa 1 , Ihefu walianza Kupata Goli kipindi Cha kwanza na Simba kipindi Cha Pili wakarudisha

Mnyama anao hali mbaya aisee !… wanatakiwa kufanya mabadiliko makubwa sana…. Wanakosea pasi kirahisi , wanakosa nafasi nyingi za wazi : kwenye kuzuia hadi huruma .

Wanaacha nafasi kubwa sana kwenye maeneo matatu (Kiungo chao kipo mbali na walizi “Nafasi Btn the lines” then safu ya ushambuliaji ipo mbali na kiungo … ngumu huduma kufika kwa wakati sahihi .

Yule Che Malone 👏 mwamba ni kitasa aisee ✅ Inonga anatakiwa kurudisha akili yake uwanjani : Rupia “Top Top Striker🔥” .
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad