AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Simba na Ihefu Wametoshana Nguvu Kwa Goli 1 Kwa 1 , Ihefu walianza Kupata Goli kipindi Cha kwanza na Simba kipindi Cha Pili wakarudisha
Mnyama anao hali mbaya aisee !… wanatakiwa kufanya mabadiliko makubwa sana…. Wanakosea pasi kirahisi , wanakosa nafasi nyingi za wazi : kwenye kuzuia hadi huruma .
Wanaacha nafasi kubwa sana kwenye maeneo matatu (Kiungo chao kipo mbali na walizi “Nafasi Btn the lines” then safu ya ushambuliaji ipo mbali na kiungo … ngumu huduma kufika kwa wakati sahihi .
Yule Che Malone 👏 mwamba ni kitasa aisee ✅ Inonga anatakiwa kurudisha akili yake uwanjani : Rupia “Top Top Striker🔥” .
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK