Tanzani Hii Hakuna Namba 10 Kama Aziz Ki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Tanzani hii hakuna namba 10 kama Aziz Ki, wala hakuna namba 10 mwenye uwezo wa kupiga pasi za mwisho za mauwaji kama Aziz.

Aziz anakupa kwenye mechi kubwa na ndogo na hiyo ndo sifa ya mchezaji mkubwa.

Aziz hana uwanja wa ugenini wala wa Nyumbani.

Jana kipindi cha pili aliamuwa kuivaa mechi na kuwageuza viungo wa Mamelodi kama watoto…..muda wote aliwekewa ulinzi wa watu wawili ila hakuna aliyefua dafu.

Ilikuwa ni one pasi kisha ana-turn na kutembea kwenye zone 14.

Baada ya mchezo kocha wa Mamelodi hakuficha mapenzi yake kwa Aziz.

Top Top class player🔥🔥
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad