Vanessa Mdee Akanusha Kuwa na Ujauzito

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Vanessa Mdee Akanusha Kuwa na Ujauzito

Baada ya kushare video kupitia ukurasa wake wa Instagram na kuzua gumzo kupitia mitandao ya kijamii kuwa ni mjamzito mwanamuziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee amekanusha taarifa hizo.


Kupitia instastory ya Vanessa amekanusha kuwa na ujauzito kwa kuweka ujumbe akieleza kuwa amenenepa tuu kutokana na kwenda vacation (likizo) mfululizo na kuishi maisha mazuri.


Ikumbukwe kuwa kwasasa Vanessa Mdee ana watoto wawili ambao amewapata pamoja na mpenzi wake Rotimi.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad