Haji Manara "Kibu Denis ni Mshambuliaji HATARI ni vile tu yuko Timu Mbovu Isiyokuwa na Mwelekeo"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Haji Manara "Kibu Denis ni Mshambuliaji HATARI ni vile tu yuko Timu Mbovu Isiyokuwa na Mwelekeo"

“Huyu Jamaa akipata maelekezo kidogo tu hakuna anaemsogelea nchini katika Washambuliaji local, ni vile tu anacheza Club ambayo haishindi Mataji makubwa na iliopoteza mwelekeo wake”

“Kibu akipata Team imara kisha akazungukwa na mafundi uwanjani ni hadithi tamu mno kumuona akicheza,ana offer vtu vingi ambavyo Strikers wetu hawana. Kibu Denga ni Mtu wa maana kabisa au Wananchi mnasemaje? 😜” Haji Manara.

WAHITIMU WA CUBA MEMUELEWA BUGGATI? 😳😳
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad