AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Seriously Yanga wanamuhitaji Chama na msimu uliopita ilibaki kidogo mchezaji huyo ajiunge na Wananchi.
Mkataba wa Chama na Simba utamalizika rasmi mwishoni mwa msimu huu na Kama Kila kitu kıtaenda Sawa atatambulishwa Jangwani.
Iko wazi Rais wa Yanga ni shabiki mkubwa wa Chama na imekuwa ndoto yake kufanya Kazi na Mzambia huyo.
Kwa upande wa Simba wako tayari kuachana na Wachezaji kadhaa Kama vile Saido na LuÃs Miquissone Ila Siyo Chama….na mwenyekiti wa Bodi Try Again angetamani kujenga Simba mpya inayo mzunguka Chama……Ila kwa sasa Yanga wameingilia kati✍️
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK