Inasemekana Max Nzengeli Alikataliwa na Simba Kisa Muonekano wa Kiseminari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwa mujibu wa ripoti kutoka ndani ya klabu ya Simba zinaeleza kuwa, viongozi wa klabu hiyo walimkataa Maxi Mpia Nzengeli kutokana na mwonekano wake ulivyo.

Viongozi waliompokea kwa mara ya kwanza hawakupendezwa na namna anavyoonekana wakiamini mchezaji wa maana hawezi kuwa na mwonekano kama wake.

Kwa mujibu wa ripoti inaeleza kuwa viongozi hao walihitaji mchezaji mwenye mwonekano kama Willy Essomba Onana.

Edgar Kibwana
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad