AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa ripoti kutoka ndani ya klabu ya Simba zinaeleza kuwa, viongozi wa klabu hiyo walimkataa Maxi Mpia Nzengeli kutokana na mwonekano wake ulivyo.
Viongozi waliompokea kwa mara ya kwanza hawakupendezwa na namna anavyoonekana wakiamini mchezaji wa maana hawezi kuwa na mwonekano kama wake.
Kwa mujibu wa ripoti inaeleza kuwa viongozi hao walihitaji mchezaji mwenye mwonekano kama Willy Essomba Onana.
Edgar Kibwana
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK