Je Wajua? Hakuna Kocha Muingereza aliewahi kushinda EPL

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Je Wajua? Hakuna Kocha Muingereza aliewahi kushinda EPL

Je Wajua? Ni ukweli mchungu lakini hauna budi kusemwa, ni hivi licha ya historia yao kwenye ulimwengu wa soka duniani, na majivuni mengi waliyonayo waingereza linapokuja swala la kandanda, lakini hakuna kocha muingereza (English manager) aliyewahi kunyakua taji la Ligi Kuu (Premier League).


Waliowahi kufanya hivyo na;


WASKOTISH 2 (Alex Fergusson, Kenny Dalglish)


WAITALIANO 4 (Conte, Ancelloti, Ranieri, Manchini)


MHISPANIA 1 (Pep Guardiola)


MRENO 1 (Jose Mourinho)


MCHILE 1 (Manuel Pellegrini)


MFARANSA 1 (Arsene Wenger)


MJERUMANI 1 (Jurgen Klopp)

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad