AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Je Wajua? Ni ukweli mchungu lakini hauna budi kusemwa, ni hivi licha ya historia yao kwenye ulimwengu wa soka duniani, na majivuni mengi waliyonayo waingereza linapokuja swala la kandanda, lakini hakuna kocha muingereza (English manager) aliyewahi kunyakua taji la Ligi Kuu (Premier League).
Waliowahi kufanya hivyo na;
WASKOTISH 2 (Alex Fergusson, Kenny Dalglish)
WAITALIANO 4 (Conte, Ancelloti, Ranieri, Manchini)
MHISPANIA 1 (Pep Guardiola)
MRENO 1 (Jose Mourinho)
MCHILE 1 (Manuel Pellegrini)
MFARANSA 1 (Arsene Wenger)
MJERUMANI 1 (Jurgen Klopp)
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK