AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"kibu Denis Sasa anaidengulia Simba Kuongeza Mkataba" - Jemedar Said
Muandishi wa habari za michezo @jemedarisaid amebainisha kuwa kibu Denis amekuwa akigoma kuongeza mkataba ndani ya klabu ya Simba yapata Miezi kumi sasa tangu aanze kubembelezwa aongeze mkataba, Jemedar amesema mchezaji huyo amekuwa akizunguka zunguka kuongeza mkataba ndani ya Simba pamoja na kupewa mahitaji yote anayoyataka, Mara anataka meneja wake awepo , mara kapata timu Norway mara anataka mpaka kaka yake ambaye yupo kigoma awepo
Ikumbukwe mkataba wa Kibu Denis na Simba unaisha mwishoni mwa Msimu huu lakini kijana anagoma kuongeza mkataba
Jemedar amesema kuwa Kwa taarifa za uhakika alizonazo ni kuwa Kibu Denis amepata ofa moja ya timu za hapa Daresalaam ofa ya miaka miwili ambayo atapata hela ya usajili 300M na mshahara wa 12M Kwa mwezi na ndio maana anawachenga chenga Simba
Akina Nani hawa wanatonesha kidonda cha Manyama?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK