AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Al Ahly Sporting Club, Wydad Athletic Club, Mamelodi Sundowns na Esperance Sportive de Tunis wataiwakilisha Afrika 🌍 kunako michuano ya FIFA Club World 🌎 Cup 2025 huko Marekani.
Michuano hii itaanza June 15 na kufikia tamati July 13,2024 mchezo wa fainali utapigwa .
Al Ahly, Sundowns, Wydad na Esperance Kila mmoja atakunja MPUNGA mrefu sana Bilioni 138 Kwa pesa ya Kitanzania Kwa kushiriki michuano hiii mikubwa Kwa ngazi ya Klabu hapa Duniani inayo simamiwa na FIFA.
😁Kweli tajiri huongezewa Bilioni 138 si wanakuja kufanya usajili mkubwa sana huku .
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK