MCHAMBUZI Wilson Oruma Aumbuka....Amuomba Msamaha Mchezaji Joseph Guede

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mchambuzi wa Soka Wilson Oruma Mzee (Mzee wa Jambia) amemuomba msamaha Mshambuliaji wa Yanga Joseph Guede baada ya kuwa anafunga mfululizo wakati anasajiliwa na kucheza mechi kadhaa Mzee wa Jambia alifanya mahojiano na Kusema Joseph Guede kiwango chake ni cha kupepea au cha kusubiri kama umetongoza demu, baada ya Guede kuanza kufunga mara kwa mara Mzee wa Jambia amemuomba msamaha.


“SORRY JOSEPH GUEDE I WASN’T AWARE WITH YOUR GAME..??? ameandika Wilson Oruma kwenye Instagram yake.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad