TANZIA: Waziri wa zamani wa Fedha, Mustafa Mkulo amefariki dunia.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


TANZIA: Waziri wa zamani wa Fedha, Mustafa Mkulo amefariki dunia.

Kwa mujibu wa taarifa ya familia, inasema Mkulo ambae aliwahi kuwa Mbunge wa Kilosa, amefariki Mei 3, katika hospital ya Taifa ya Muhimbili.

Msiba kwa sasa upo nyumbani kwake Mikocheni, mipango ya mazishi inaendelea na anatarajia kuzikwa kesho Jumapili Mei 5, Kijijini kwao Kilosa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad