Teknolojia ya ''6G'' ni Tishio zaidi ya ''5G''

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Teknolojia ya ''6G'' ni Tishio zaidi ya ''5G''

Japani imetengeneza historia mpya kwa kuwa nchi ya kwanza kuzindua teknolojia ya 6G, ikumbukwe Duniani kwa sasa teknolojia inayotumika na yenye kasi ni 5G ambayo yenyewe pia kwa uhalisia wake kuna baadhi ya maeneo haipatikani.

Teknolojia ya 6G ambayo imetambulishwa na Japan inatajwa kuwa na kasi ya utumiaji wa data mara 20 zaidi ya kasi inayopatikana kwenye 5G. Kasi ya sasa inayopatikana kwenye mtandao wa 5G ni 20 GB kwa sekunde, lakini kasi ya mtandao wa 6G ni 1TB kwa sekunde.

kwa urefu zaidi kuhusiana na teknolojia hii ya 6G usikose kusikiliza SUPATECH kila siku Jumatatu - Ijumaa 12:00 Asubuhi, kupitia EastAfricaRadio pekee.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad