AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa chanzo chetu kutoka "MDC Agency" ambacho kilizungumza na mwandishi wetu @oumar_bulla kimeeleza kwamba mpaka sasa hakuna makubaliano ya kimkataba baina ya @yangasc na mchezaji Aziz Ki, "Mkataba wa Aziz unaisha mwisho wa msimu huu, sidhani kama mteja wangu "Aziz Ki" tutaongeza mkataba na klabu ya Yanga ingawa wameleta pendekezo ila hatukuliafiki" - Mwakilishi wa MDC Agency.
Unadhani nani anastahili kuwa mbadala sahihi wa mwamba Stephane Aziz Ki..!!??
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK