Mchezaji Aziz K Ateuliwa Mchezaji Bora Mwezi wa Nne

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kiungo mshambuliaji wa Yanga SC, Stephane Aziz Ki ameteuliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Aprili 2024, kwenye NBC Premier League huku kocha wa timu hiyo Miguel Gamond akiteuliwa kuwa Kocha Bora.

Kwa mujibu wa taarifa ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, Aziz Ki ameibuka Mchezaji Bora akiwashinda Kipre Junior wa Azam FC na Joseph Guede wa Yanga.

Kwa upande wa Gamond, yeye amewashinda Bruno Ferry wa Azam FC na Malale Hamsini wa JKT Tanzania.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad