AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbatia na Lissu |
Sumaye ambanae inasemekana amejiunga na NCCR japo hakuna ushahidi wa kukabidhiwa kadi ameoneka na jezi ya CHADEMA kwenye mikutano akipiga debe kwa Lowassa. ni wazi NCCR ni mwathirika wa UKAWA na itabaki na ukiwa. inaelekea nyumbu wote watafuata alipo EL. alipo Edo nyumbu wote wapo. tuombe mungu apishilie mbali UKAWA kutwa uongozi ama sivyo tutaona mparurano wa kugombea vyeo.. Sumaye tayari amapewa uwaziri mkuu mbowe inasemekana atakabidhiwa hazina! mbatia bado haifahamiki etc
By Kmbwembwe
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Umeuliza na kujijibu mwenyewe.
ReplyDeletemh, hamia tu, tuikomboe nchi, UKAWA hoyeeeeee!!
ReplyDeleteacha kugombanisha hiyo ni ukawa mambo ya chama kimojakimoja hamna tena siwameungana
ReplyDeleteMmetumwa mtuvuruge hatudanganyiki October ndo mwishi wenu
ReplyDeleteMmetumwa mtuvuruge hatudanganyiki October ndo mwisho wenu
ReplyDeleteWe kweli mpumbavu nyoko acha uchochezi na kuleta hoja za uwongo hapa pumbu nini wewe
ReplyDeleteHureeeeee re
ReplyDelete