AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nimeshaanga sana Leo.. Sijawahi kujua kuwa anamfollow mtu mmoja tu Instagram...
Cha kushangaza Hayupo katika Top 5.. Kazidiwa na Vanessa mdee hata Harmonize anakaribia kumfunika..
TAZAMA HAPA:
By Ethos
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mnapenda kummaliza kiba huo sio uzalendo
ReplyDeleteAli kiba mwenyewe hapendi kuwa karibu na fans Wake na ndiyo maana fans Wake wameenza kupotea sababu Ali kiba mwenyewe hajitumi hata kimuziki ingawa kipaji anacho lakini inaelekea hapendi kuimba anaimba sababu ya pesa tu, lakini hawajali fans wake ingawa wamelalamika sana kuwa inabidi abadilike lakini hasikii ona sasa Diamond anavyowapenda fans wake yani Diamond huwa anafanya kila kitu ili kuwafurahisha fans wake na ndiyo maana fans wake hawawezi kumuangusha
ReplyDelete