AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yanga kama kawaida yao 4-2-3-1 , walianza mpira nyuma kwa shape ya 2-3-4-1 (Aucho mbele ya CBs wawili then Muda anasogea juu kuungana na Maxi , Aziz na Mzize nyuma ya Guede ) : Yanga waliitaji kuongeza kasi kwenye kushambulia tu .
1: Walipata nafasi kubwa sana nyuma ya kiungo cha Simba , Muda Aziz na Maxi walishambulia vizuri sana then ni Yanga tu , kwasababu walikuwa na runners wengi wakishambulia (Yao , Mzize , Kibabage) .
2: Nafikiri kwa zile Space walizokuwa wanazipata + Simba hawaweki presha ni wao tu , hawakuhitaji pasi nyingi kufika kwenye Defense ya Simba : Simba walikuwa hawaweki presha kwenye mpira na kwa mpinzani .
Simba kwa nafasi walizokuwa wanaziacha aisee : unauliza nini wanafanya kwenye uwanja wa mazoezi hasa wakiwa hawana mpira . Wapo wazi sana , hawaweki presha kwa mpinzani na kwenye mpira …. Ngoma , Babacar na Kanouté walikuwa wanapoteza pasi kirahisi sana then hawakuzuia vizuri .
Nafikiri baada ya kuingia kwa Fred , Luis …. Simba waliongeza uhai kwenye eneo la mbele (Movements , idadi ya wachezaji na waliisumbua Defense ya Yanga) …. Baada ya kuwa 2-1 Yanga waliamua kuzuia kwa kulinda alichonacho : ZUIA VIZURI .
NOTE:
Yule Aziz Ki “Very Technician” ukimuachia nafasi aisee upo hatarini🔥 ….. Job na Bacca 👏
Joseph Guedé “A Striker✅” amecheza game bora sana .
Chama na Che Malone ✅
Yanga wanashinda Back to Back mbele ya Simba msimu huu .
FT: Yanga 2-1 Simba .
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK