Natamani Kuolewa lakini Sijapata Chaguo Sahihi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Niko na rafiki yangu hapa ananiomba nimshauri afanyaje maana anatamani kuolewa na mtu watakaependana kwa dhati. Tatizo anaowapenda wanamtenda, asiowapenda wanamjali sana..
Kwa hivi sasa ana umri wa miaka 27, ana boyfriend anaetaka kumuoa lakini anaogopa kuingia katika ndoa ambayo hana mapenzi ya kweli kwa mumewe. Wasiwasi wake ni kuwa mwisho atajikuta anazeeka akiwa single kwa kusubiria mru atakaependana nae.
Anahitaji moyo wake uridhike, na mtu atakaemuoa aridhike nae. Haamini kuwa kuna akubali kuolewa na aliepo harafu atajifunza kumpenda ndani ya ndoa. Na wana miaka mitatu ktk uhusiano na huyo alie nae. Hafeel kuongozana nae na hata kumtambulisha kwa marafiki.Naomba mnisaidie mawazo hapa wadau jinsi ya kumshauri ktk hili.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. pole ila jaribu kufikilia na ujitambue kua una udhaifu gani.hasa kinacho kusababisha mpaka una achwa ...

    ReplyDelete

Top Post Ad