AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa hivi sasa ana umri wa miaka 27, ana boyfriend anaetaka kumuoa lakini anaogopa kuingia katika ndoa ambayo hana mapenzi ya kweli kwa mumewe. Wasiwasi wake ni kuwa mwisho atajikuta anazeeka akiwa single kwa kusubiria mru atakaependana nae.
Anahitaji moyo wake uridhike, na mtu atakaemuoa aridhike nae. Haamini kuwa kuna akubali kuolewa na aliepo harafu atajifunza kumpenda ndani ya ndoa. Na wana miaka mitatu ktk uhusiano na huyo alie nae. Hafeel kuongozana nae na hata kumtambulisha kwa marafiki.Naomba mnisaidie mawazo hapa wadau jinsi ya kumshauri ktk hili.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
pole ila jaribu kufikilia na ujitambue kua una udhaifu gani.hasa kinacho kusababisha mpaka una achwa ...
ReplyDelete