AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ishu hiyo ilijiri Alhamisi ya wiki iliyopita wakati akihojiwa na mtangazaji wa Redio Times FM, Hadija Shaibu ‘Dida’ kupitia kipindi chake cha Mitikisiko ya Pwani ambapo alisema mirungi na pombe kali ndiyo starehe yake kwani inampa stimu kabla hajapanda jukwaani na katika maisha yake ya kawaida nje ya usanii.
Mashauzi alifunguka hayo baada ya Dida kumtaka atoe ufafanuzi juu ya skendo ya kuvuta bangi inayomkabili ambapo alisema siyo kweli kwamba anavuta bangi ila akakiri kuwa anakula sana mirungi na kugida ulabu. Aliongeza kwamba kwa kuwa hana mume, mtoto wala hataki kuwa na familia, mirungi na pombe ndiyo vitu vinavyompa furaha maishani mwake.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
eeeh nyie waandishi kboko duuh mtu ukisoma kchwa cha habari unaweza ukazimia hlf unakuta hbr yenyewe cheche tupu!! tupunguzen kupotosha jamii jaman
ReplyDeleteacheni kuandika pumba juu ya mtu madawa madawa au nyinyini ndio mnatumia nini
ReplyDeleteYaan polisi nao wamesimama kama mashoga juzi mmenikamata na GOMBA langu sasa isha huyo kajianika anatumia nendeni mkamkamate wala rushwa nyie.....LAMAMAEEE!!!!
ReplyDelete