AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tanzania imepanda kwa nafasi nane katika viwango vya ubora vinavyotolewa na Shirikisho la Soka Duniani (Fifa) kutoka nafasi ya 127 waliyokuwepo mwezi uliopita mpaka nafasi ya 119. Wakati Tanzania ikiwa nafasi ya 119 wapinzani wao katika kusaka tiketi ya kufuzu kwa Kombe la Dunia 2014, Morocco wenyewe wanakamata nafasi ya 77, na Ivory Coast (13) huku Gambia (144).
Mwezi uliopita pamoja na Taifa Stars kuichapa Cameroon 1-0, bado iliporomoka kwa nafasi tatu na kutoka 124 hadi 127. Nafasi ya juu zaidi iliyowahi kushika Tanzania kwenye viwango hivyo ni 65 mwaka 1996.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK