AGNESS AWAJIBU WATU INSTRAGRAM BAADA YA TUHUMA KUENEA KUWA AMEKAMATWA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya habari za kukamatwa kwa mtanzania Agness Gerald na Melisa Edward, wakiwa na madawa ya kulevya yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 6 kuenea na kuthibitishwa na kamanda wa polisi kitengo cha kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya "Godfrey Nzowa". Agness Jerald ambae wengi wanahisi ni  Aggy Masogange ambae pia yuko nchini South Africa mpaka dakika hii, (ambapo haijajulikana kama ni yeye kweli) ameonekana akiendelea kuandika kupitia mtandao wa instagram licha ya kutangazwa kwa habari hizo.
masaa matatu yaliyopita Aggy alipost picha hii hapo chini na kuandika maneno haya
 na baadae kupost pichaa hii yenye caption hiyo hapo chini


jessolomon@renatusleonard naomba nijuze kunani??

tarinawhtIn my prayers doll,fanya yko darling let them talk❤@aggnesfineassgirl

carlozvellaWataongea sana ila yako yanafika utakapoooo

aggnesfineassgirlHahahah si umeitwaa unagoma bby @mattynemo

aggnesfineassgirl@wemalicious hahahaha bby usiniuee uwiiiiii

carlozvellaAchana nao RESPECT KWAKO @aggnesfineassgirl

aggnesfineassgirl@chaggabarbie ��������

albertmgangajrAkili za wabongo bhana,achen unafiki jaman!!!wait n see

asmakarimPole no kweli umekatwa dear

hasnajalangoMh muulize wewe maana kang'ang'ana keshasema keshasema......amesea wapi nini ama udaku 2...@jessolomon

msafirijoab123Daaaaaaa wambea wanyamaze kabsa@aggnesfineassgirl

shinda2013Everybody can update the pics..

mattynemoNakuja soon... ngoja too mizigo iishe dar panachosha...@aggnesfineassgirl

minashabaniMumy nimekuwazia mengi nakukusikitikia sana@aggnesfineassgirl mwenyezi mungu akusaidi kama nikweli upo pouwa na afute hizi husda za midomo yawatu waliyo kuchuria mumy wangu

mariyumiisaidOhghogh***

leahna1112Pole sana mumyto kwanini wanakusingizia hivyo? Pls ukirudi wafungulie kesi haiwezekani wakuchafulie Jina kiasi hichi

achunbaaSasa hawa watu wanazusha maneno ya kisenge manake nn lkn

mpolesam@wolpergambe akupigii ngoo sababu sio yeye na ukimwambia ukweli anakublock ni mumewe anawazuga watu wanyamaze

nishabebee88Tunasemaga BUH BUH BUH likimpata mtuu timua vumbiiiiiii BUHHHHHHHHHHHH .. love u bby boo

biancaselishaYaani nasema wakukome My bebe

aggnesfineassgirlAs usual we present home city @linahbaby

salmakbarbinadamu haswa watz tumezoea kuona wenzetu wasiendelee wakuache mumy wng @aggnesfineassgirl , miss kisses

dadizgalJmn baby am glad ur back missed u booboo@aggnesfineassgirl

dminajmamy nlikumic nmeskia nkajua kwel wacha inpain

cutebeathaDaah pipo r bad.....mmxwhiii.....lov u kipenz

ladyhossyDuh pole kwa kuzushiwa

sandytemumungu mkubwa jamani.dah..nicheki pliz@aggnesfineassgirl

zhussein777hata ingekuwa kweli its non pipoz bussnes .... unatafuta zako huwa tafutii wao kula zako maisha @aggnesfineassgirl

latty3941Na mi nahc

aggnesfineassgirl@nishabebee88 lov u moo bby akeee

aggnesfineassgirl@nassorosalma ����������

aggnesfineassgirl@sandytemu nimewipe fone chek m on insta nkupe no yg ya huku

aggnesfineassgirlMis u moo bby bby @dadizgal

tarinawhtAm hapi������,watasonyajeeeeee!!do ur thing hun achana na wazushi Kama nawaona hii hii ���� dats y I lov u@aggnesfineassgirl

mamyluqMimi midomo yangu bado iko wazi uku kungekuwa na nzi ningemeza nzi nilivyoshaangaa wabongo tumefikia apa mtu anaropoka tu duuu pole mdada ila du

msafirijoab123Wanafiki walie2

levimkush@aggnesfineassgirl y pipo wanakusaka hvo mamii! Temana nao. Lov ya muuuuuuuch!
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wote nyie mnampa pole za uongo. Wanafiki kabisa. Tena nadhani mnafanya hivyo kutafuta taarifa zaidi. Mshindwe kabisa.

    ReplyDelete

Top Post Ad