AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya Diamond kumtaja Harmonize na Rich Mavoko na Wasanii wengine kuwashika mkono katika kutimiza miaka 15 ya kazi yake ya muziki, kwa Jeshi @harmonize_tz ameipokea tofauti ameonyesha kuchoshwa na kauli hiyo ambayo amedai imekuwa ikijirudia kwa Simba @diamondplatnumz kumtaja kuwa amemtoa.
Kupitia Insta story yake Harmonize ameandika “Nilimtoa ndio kweli ila inachosha nakaribia kujuta”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK