ROSE NDAUKA AKANUSHA HABARI ZILIZO SAMBAA KUWA NI MJA MZITO

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanadada Rose ndauka amekanusha habari zilizoandikwa jana kwenye mitandao mbalimbali nchini kuwa huenda yu mjamzito kutokana na tukio la kuugua ghafla na kupandwa na kichefuchefu alipokuwa location akitengeneza Filamu yake mpya (kama nayoonekana pichani)
Akizungumza na mtandao wa Swahili World Planet, Rose ndauka amesema kuwa habari hizo si za kweli na wala yeye hajaongea jambo kama hilo
 "sio kweli na kilichoandikwa sijakiongea" hata sijui wamepata wapi hizo taarifa. Alinukuliwa akisema Rose ndauka
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad