WOLPER: MADAHA HANA LOLOTE ANATAFUTA ‘KIKI’ TU KUPITIA KWANGU

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

STAA wa sinema za nyumbani, Jacqueline Wolper amemtemea cheche msanii mwenzake, Baby Joseph ‘Baby Madaha’ kuwa anatafuta ustaa (kiki) kupitia jina lake

Akifafanua kauli yake mbele ya kinasa sauti cha Stori 3, Wolper alisema anamshangaa msanii huyo kumsemea vibaya, kutoa lugha ya matusi mtandaoni bila sababu za msingi

“Namshangaa Baby Madaha kwa aliyoyasema kuhusu mimi, anatafuta kiki. Watu wanafahamu mimi ni staa kuliko yeye kwa hiyo sidhani kama ana sababu ya kugombana na mimi,” alisema Wolper.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wote hao malaya tu kama mmekosa kazi mlajiuze maana fani imewashinda

    ReplyDelete
  2. samson ndaro; ubishi hausaidii kwani nini mnachokitaka au mmegombania wanaume kwani nanyi si ni malaya 2

    ReplyDelete
  3. samson ndaro; ubishi hausaidii kwani nini mnachokitaka au mmegombania wanaume kwani nanyi si ni malaya 2

    ReplyDelete

Top Post Ad