AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hakuficha mapenzi ya kweli aliyonayo kwa mpenzi wake mpya waliekutana kwenye jumba la BBA 2013, Mbotswana Oneal… kuna wengine walichukulia kama mzaha pale Feza alipohojiwa na kusema wazi kwamba anampenda kiukweli Oneal na chochote kinaweza kutokea kati yao.
Taarifa ikufikie kwamba tayari Feza ameshaondoka Tanzania na kwenda Botswana kwa mpenzi wake ambapo amepata mapokezi makubwa ambapo kunatarajiwa kufanyika party ya chakula cha jioni cha mastaa hao ambao watajumuika na watu wengine pia watakaolipa kiingilio.
Source:Millardayo
----
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK