FEZA KESSY NDANI YA MAPENZI MOTO MOTO NA ONEAL..APOKEWA KWA SHANGWE BOTSWANA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


4Hakuficha mapenzi ya kweli aliyonayo kwa mpenzi wake mpya waliekutana kwenye jumba la BBA 2013, Mbotswana Oneal… kuna wengine walichukulia kama mzaha pale Feza alipohojiwa na kusema wazi kwamba anampenda kiukweli Oneal na chochote kinaweza kutokea kati yao.
Taarifa ikufikie kwamba tayari Feza ameshaondoka Tanzania na kwenda Botswana kwa mpenzi wake ambapo amepata mapokezi makubwa ambapo kunatarajiwa kufanyika party ya chakula cha jioni cha mastaa hao ambao watajumuika na watu wengine pia watakaolipa kiingilio.
1
2
6
358

Source:Millardayo

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad