MASANJA MKANDAMIZAJI AFUNGUKA KUHUSU SKENDO YAKE YA KUSAFIRISHA MADAWA YA KULEVYA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jana zilisambaa  habari  kwamba  masanja  mkandamizaji  na  msanii Diamond  wamedakwa  na  polisi  na  possport  zao  za  kusafiria  zimezuiwa....

Taarifa  hizo  zimemfanya  Masanja  afunguke  na  kudai  kwamba  habari  hizo  si  za  kweli, ni  habari  zenye  lengo  la  kumchafulia  jina.


Masanja  ameenda  mbali  zaidi  na  kudai  kwamba yeye  ni  mtumishi  wa  mungu, yeye  ni  mjasiliamali  na  ni  mkulima  pia.

Mali  alizonazo  zinatokana  na  juhudi  zake  za  kazi. TBC wanamlipa  milioni  5  kwa  mwezi.Stoo  ana  magunia  ya  mpunga  zaidi  ya  1000  na  kila  gunia  linauzwa  zaidi  ya  200,000. https://soundcloud.com/vijimambo-blog/recording-2
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

31 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Chezea masanja weweeee!hahahaaaaa mwaya walitaka utiririke tu.mi pia nashukuru nimekufaham ntakupigia misele bovu ukizingatia
    Pakukupata napajua,kanisaniiiiiii!be read am coming mtumishi.

    ReplyDelete
  2. m2mishi wa mungu huyo

    ReplyDelete
  3. but kuna wa2mishi wa mungu wengne wana2mia u2mishi waka kama ngao ya ualifu

    ReplyDelete
  4. Hvi niwaulize mtu akiulizwa unauza atasema Ndio? Moyo wa binadam na giza nene sana. Huyo Masanja mnamsema hamjui masanja ni mshenzi sana. Kawadanganya wadada kibao hapo. Kanisani hadi kuna mdada akasmua kusepa maana watu walimwandama. Kwa tunao sari nae tunamjua hyo kashfa aliyoipata na bado. Alimtenda huyo mdada alikua mcha Mungu na kipenzi cha Mchungaji. Mdada amehama Kanisa Kisa Masanja Lazima Atailipa. Mungu mkubwa kale kadada kanaishi poa na life la kufa mtu. Masanjaaa tunakujua mungu akuponyeeeeeeee. Ubadilike. Mlokole mwenye mwito.

    ReplyDelete
  5. Bwahahahah watu mnajua habari za Watu huyo dada namjua. Majanga tena.

    ReplyDelete
  6. ...........MASANJA FUNGUKA TENA NA HIYO.....! MAANA NDO YANAKUJA HIVOO WE JIANDAE TU,, BADO NA NDANI UTAENDA TU, BADO TBC WATAKUTEMA TU KAMA NDO KASHIFA ZENYEWE ZINAKUJA HIVO, MAANA TBC NI KIOO CHA JAMII SIYO KASHIFA,, BADO NA TRA HAWJAKUTAFUTA KUHUSU KODI YA MAMILLION HAYO UNAYOYATAJA, IULIZE NAFSI YAKO MASANJA KAMA KWELI HAYA MAMBO UNAYAFANYA JIKANYE MWENYEWE UACHE WATUNWANAKUPENDA SANA,,,LAKINI HILI LA HUYO DADA ULIYEMHAMISHA KANISANI KWA USHENZI UNAOSEMWA NA HUYO MCHANGIAJI HAPO JUU NI MBAYA SANA.....!!FUNGUKA WATU WAKUSAIDIE DOGO...UMAARUFU NAO KAZI

    ReplyDelete
  7. Kakakakakakakakakakaaaaaaa kadada tena?

    ReplyDelete
  8. People r just so stupid, wanasikiliza huku mara kule , ushabiki tu, hv nani atakwambia mimi nauza unga kweli?? tumieni akili nyie watu, milioni tano wote tunalipwa hizo, ukulima mashamba tunayo pia, na tunajua jinsi mvua inavyonyesha. issue hapa ni kwamba hizo pesa zinatosha kujikimu kwa life style yao, kujenga majumba, kununua mashamba, kusafiri nje? Ukweli ni kwamba for now hatuna ushahidi ila ni kwa watu wenye dhamana wanakula nao. Wenzetu ulaya wangeulizia pia kama kweli wanabiashara halali vipi kodi ya pato? Milioni tano ni gross sio net, ukiuza mazao kuna kodi, ukinunua kuna kodi.
    Najua wenye akili punguani watasema wivu ila vijana wanaangamia kwa madawa, taifa la kesho. Amkeni acheni ufala hakuna biashara halali ya kukunyanyua ghafla hivyo hapa duniani, tena eti ya comedy au show za bongo flava au bongo movies wakati watu hawanunui cd original, wananunua za kucopy then msanii ni bilionea ghafla tu ukiuliza oooh mi napiga show!

    ReplyDelete
    Replies
    1. kila nafsi ni shahidi ya iyatendayo.
      Nguvu kazi inapotea nchi itapataje maendeleo?

      Delete
  9. Kwakweli kwa swala la huyo dada Mdau hapo juuuu ni kweli kabisa Masanja alikakuta chuch kadada kako poa kinoma kanaendesha Vitz. Ila alivyomkubalia huyo Masanja maisha yake yalinadilika. Tunsjua kila kitu. Masanja acha kujikausha umeshamuomba Msamaha huyo Demu? Na ako kadada kalikuwaga kanaenda Uulaya sana. Sikaoni. Unajishaua mtumidhi wa mungu wapi wewe. Nina hasira nawewe sana. Maana sko kadada tulikua wote chuch. Mara kakasepa. Mungu akuponye.

    ReplyDelete
  10. kumbe ndio kuokoka huko? mbwembwe nyingi!

    ReplyDelete
  11. Dogo jipange kwanza kabla hujaja kujieleza public,hakuna gunia la mpunga linalouzwa Sh 200,000 kwa Tanzania hii

    ReplyDelete
  12. Jaman Masanja amechemsha eti nalipwa million Tano sawa unalipwa million. Tano. Kwanza una kampuni ya Ulinzi. Unamagari c chini ya Sita. Nyumba yako ya Kigambon umejenga miaka mingi leo Ghorofa ndani ya mwaka. Na bado utaongea tu. unga ni kweli unauza kwa hela gani Masanja? Ya halali? Na bado utazungumza tu ukweli. Kwahyo kututukana waandishi wa habari umeona dili Eti kupata million ni muujiza c bora mm muujiza wewe wa Sembe? Mbona kina mpoki wametulia kawaida Ukaona ujifiche kwenye ulokole. Jipange

    ReplyDelete
  13. Mmmmh,dialmond nae anajenga mansion mbezi beach,ananyumba 4,mahela kwenye bank ndio usiseme,magari ya maana,nyumba Moja kamjengea mama yake,julmla nyumba tano weka mbali jumba la mbezi beach amble bado alijaisha.duuu huu utajiri wa haraka haraka,mmmmh!!!!!!

    ReplyDelete
  14. Mtaishia hivyohivyo wenzenu wanasonga,kama unga na nyinyi c mkabebe kama rahisi, jifunzeni kusave pesa zenu na kufanya maendeleo kutwa mko club , kuna asiyejua Masanja alikotokea? tuliandaa tamasha akaja kutumbuiza siku moja tuu tulimlipa 2milioni sasa akiitwa mara 2 kwa mwezi ana sh ngapi?ulizieni mpoki ana nini kabla hamjaanza kuchonga wehu nyie, mmehama freemason sasa unga

    ReplyDelete
  15. Freemason na sembe ndio Dili Siku hizi.jamani dunia imekwisha.mi diamond nitaamini ni freemason,masharti ya fremason uwe unatoa misaada kila mwaka,matos zawadi ya gari kwa mzee wa bendi.

    ReplyDelete
  16. Sanja yule mke wa askofu wa kanisa sinza mugabe umeacha kumchakachua. acha zako mzee

    ReplyDelete
  17. Hahahahahahaha Mke wa Askofu tena. Huku kitaa masanja kavuluga madem wengi kinoma. Masanja badilika. Unauchafu kibao kwa kubadilisha madem. We ni nomaaaa tujiulize tupo wangapi? Na umeumbuka. Mungu mkubwa. Mnapenda kuwatoa watu kwenye comedy. Ulimtongoza rafki angu facebook ukamgonga ukamuacha. Loh. Unakumbuka ulivyokua unawabadilisha.

    ReplyDelete
  18. Masanja Dah unavyojitutumia kuhubiri unatoka na wake wa Maaskofu??? Una laaaana wewe ( in bedui voice)

    ReplyDelete
  19. yule dem wake annabel muuza k wa block 41.vp walishaachana???

    ReplyDelete
  20. Hahahahahaha Anabel. Tena. Mbona Levina ,Nasra.... Mama Askofu Wa Sinza Mugabe. Masanja njoo ujibu Tuhuma

    ReplyDelete
  21. Nyoooooo mamae zenu wote mnaojifanya mnamjua Masanja. Mbona nyie mna chukuliwa na wanaume cheap cheap na ukimwi juuu mkaogeee. Eti yule muuza K. Nyie mnajiona mko safi si ndio. Jiosheni nyie ndo mumuandame kumamayo zenu nyie. Bestfrnd wa Masanja

    ReplyDelete
    Replies
    1. mamako anakopo nakuuliza shetwaiiin wewe umechanwa live hapa unaleta matusi badilika kijana ukimwi na gono vinaua mxiuuumxoooo

      Delete
  22. Kweli kaz hamna. Nipo ofcn. Mkimaliza kojoen mkalale

    ReplyDelete
    Replies
    1. nyau wewe ungekuwa na kazi usingepata muda wa kukoment mazafanta unanin wewe

      Delete
  23. masanja hauko serious na MUNGU bora umtumikie shetan ieleweke

    ReplyDelete
  24. masanja masanja masanja masanja wewe huu mwema kwa mungu wako kisa mtu kawazidi kipato jueni kua hakuna jipya chini ya jua haya yote yalikuepo tang nyakati za........

    ReplyDelete
  25. masanja masanja masanja masanja wewe huu mwema kwa mungu wako kisa mtu kawazidi kipato jueni kua hakuna jipya chini ya jua haya yote yalikuepo tang nyakati za........

    ReplyDelete
  26. masanja masanja masanja masanja wewe huu mwema kwa mungu wako kisa mtu kawazidi kipato jueni kua hakuna jipya chini ya jua haya yote yalikuepo tang nyakati za........

    ReplyDelete
  27. duuuuuuuuuu........... mkubwa mungu...

    ReplyDelete

Top Post Ad