AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hii ni kwa wale WANAUME wasio na Shukrani..Unajijua kabisa huna Mvuto na Sura yako haina haiba,kwa kifupi una Sura la Mjomba kama bata mwenye mdondo lakini Mungu sio Mrishp Ngasa,kuna mdada wa watu bila kujali muonekano wako hafifu na duni,amejitoa Kimasomaso kukupenda kwa dhati japo huna Sura wala huna hela na hadhi ya kuwa na msichana kama huyo.Mdada wa watu anajitahidi kujilinda,anakwepa vishawishi vya Mapedeshee wa town ambao wanahonga kuliko kutoa sadaka kanisani,anakataa Ma-handsome boy kibao wanaomtaka,kwa sababu yako.Badala ya kushukuru na kulipa wema,angalau na wewe anakuweka mjini unaonekana unamiliki mzigo wa maana,unaonekana nawe umo wewe ndo umekuwa Fungulia-Mbwa,Unamcheat waziwazi
Sasa hivi unajiona mjanja kwa sababu yupo,na unajua anakupenda ila siku moja atakuchoka atakuacha,Sasa Sijui utapata wapi mdada mwingine wa kujitoa Mhanga kukupenda na sura lako kama umepewa taarifa ya Msiba.
Heshimuni Wadada wa watu wakijitoa kuwapenda kama mlivyo...Nakushangaa sana wewe Kijana unapata wapi Ujasiri wa kuleta mawenge kwa huyo mdada wakati unajua kabisa Hela huna na una sura kama Bonde la Ufa.....UKISITIRIWA BASI UJUE KUSITIRIKA.
Kwa Hisani ya wasukuma waishio Dar.
-Source:Seth De Jesus
Udaku Specially Blog
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Fucking post i ever see!.who told u lov is about appearance?.respect each other no matter how u looks like!
ReplyDeleteHuo uzushi mtupu. Sura inahusiana nini na mapenzi?
ReplyDeleteFuck this fucking post. Haina maana yoyote
ReplyDeletekatk hii dunia we ndo utakuwa mwanamke wa .1 kw ujinga,tangia nizaliw sjawai kuona
ReplyDeleteUwiii wabongo hawapendagi kuambiwa ukweli. .hahahaa. .jiwe limerushwa gizani watu munatomboka tomboka kama mmekunywa chang'a! Post nzuri sana. .lol
ReplyDelete