AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mamlaka hiyo iliitisha mkutano katika Hoteli ya Starlight ikilenga kuwaelimisha wafanyabiashara hao juu ya matumizi ya mashine za kielektroniki, jambo ambalo lilizua zogo miongoni mwa wafanyabiashara waliokuwepo katika eneo hilo.
Akizungumza na gazeti hili, mmoja wa wafanyabiashara wa nguo eneo la Kariakoo aliyekuwepo hotelini hapo, akijitambulisha kwa jina moja tu la Mwanahamisi alisema siku ya Jumatano gari la matangazo lilipita baadhi ya mitaa ya Kariakoo likiwataka wafanyabiashara hao wafike kwenye mkutano uliopangwa kufanyika.
“Kutokana na taarifa hiyo kuletwa kienyeji, baadhi ya wafanyabiashara wachache tumefika tukijua tutapata ufumbuzi juu ya kilio cha muda mrefu kuhusiana na malalamiko waliyopeleka kwenye mamlaka hiyo, a alisema.
Matokeo yake watu kutoka mamlaka hiyo waliofika kwenye mkutano, walianza kutoa utambulisho juu ya kile walichotarajia kukifanya ikiwa ni kutoa elimu juu ya matumizi ya mashine hizo.
Gazeti la Mwananchi
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK