LIYUMBA ATINGA MAHAKAMANI NA MABAUNSA, WAMKINGA ASIPIGWE PICHA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mabaunsa wakimkinga Liyumba.
Juhudi za kumkinga zikiendelea.
Akikimbizwa kuwakwepa mapaparazi.  
 ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Miradi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba, leo alitinga katika mahakama ya Kisutu kusikiliza kesi yake akiwa na kundi la mabaunsa waliokuwa wakimkinga asipigwe picha na mapaparazi. Liyumba alitinga mahakamani hapo kusikiliza kesi inayomkabili ya kunaswa na simu ya kiganjani akiwa gerezani ambapo leo ilikuwa siku ya kumsikiliza shahidi wa upande wa mashitaka lakini shahidi huyo alipatwa na udhuru hivyo kesi hiyo kuahirishwa mpaka Novemba 26 mwaka huu.
                                                               PICHA : RICHARD BUKOS / GPL
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad