AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Miradi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba, leo alitinga katika mahakama ya Kisutu kusikiliza kesi yake akiwa na kundi la mabaunsa waliokuwa wakimkinga asipigwe picha na mapaparazi. Liyumba alitinga mahakamani hapo kusikiliza kesi inayomkabili ya kunaswa na simu ya kiganjani akiwa gerezani ambapo leo ilikuwa siku ya kumsikiliza shahidi wa upande wa mashitaka lakini shahidi huyo alipatwa na udhuru hivyo kesi hiyo kuahirishwa mpaka Novemba 26 mwaka huu.
PICHA : RICHARD BUKOS / GPL
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK