Gossip cop Soudy Brown a.k.a Dalali mpekuzi amezipekua stori kumuhusu staa wa bongofleva Bob Juniour na headlines kwamba chanzo cha ndoa yake kuvunjika ni kiki? isikilize stori kamili hapa chini mtu wa nguvu…
Huyu bob jnr. Ni mshamba cz me nilimsikiliza eti anadai alilazimishwa kumuoa yule binti nfo mana baada ya miezi miwili akazaa... afu kwa ushamba akajisifu nw yuko singo na eti vichenchede km kawa... wewe unaona sifa kumbe unajiharibia. .. ndo mana huna nyota..
Nomer sana
ReplyDeleteHuyu bob jnr. Ni mshamba cz me nilimsikiliza eti anadai alilazimishwa kumuoa yule binti nfo mana baada ya miezi miwili akazaa... afu kwa ushamba akajisifu nw yuko singo na eti vichenchede km kawa... wewe unaona sifa kumbe unajiharibia. .. ndo mana huna nyota..
ReplyDeleteDu kweli anaimba sana but hana nyota kabisa
ReplyDeletemshamba tu kwani ulilazimishwa kuzaa
ReplyDelete