SIRI NZITO YAFICHUKA...HIRIZI ZATUMIWA NA WACHUNGAJI MAKANISANI

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Stori:  Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
SIRI nzito imefichuka! Baadhi ya maaskofu na wachungaji (baadhi lakini) wa makanisa ya kilokole nchini wanadaiwa kutumia hirizi ili kujaza waumini, Uwazi limenyetishiwa.
Askofu Kakobe.
SEHEMU ZINAZOKAA HIZIRI
Kwa mujibu wa mfichua siri huyo, watumishi hao wa Mungu wanaojihusisha na ushirikina wamekuwa wakizifunga hiziri hizo sehemu ya juu ya mkono wa kulia na kufichwa na shati la mikono mirefu ambalo nalo huwa ndani ya koti la suti.
Ikadaiwa kuwa, wengine huficha sehemu ya siri ya nguo ya ndani kulingana na maelekezo ya waganga wanaowatengenezea hirizi hizi

WAUMINI NAO WANENA
Wakizungumza kwa nyakati tofauti na mapaparazi wetu jijini Dar juzi, baadhi ya waumini wa makanisa hayo ya kiroho walisema wamegundua kuwa, wapo viongozi wa makanisa hayo ambao hutumia nguvu za giza ili kuvuta waumini wengi.
LENGO LA KUTUMIA HIRIZI
Waumini hao ambao walidai wana uhakika kuna watumishi wa Mungu feki wengi siku hizi, walisema maaskofu na wachungaji wanaotumia hiziri wana lengo la kujipatia ‘kondoo’ wengi hivyo kuwa na uhakika wa kukusanya sadaka nyingi.
Kaldinali Polycarp Pengo.
NI WALE WENYE NIA YA UTAJIRI TU
Habari zaidi zinadai kuwa, watumishi wa Mungu waliotumbukia kwenye ushirikina huo ni wale wanaosaka utajiri tu na neno la Mungu kwao si kitu cha lazima.
Watumishi hao wanadaiwa kusema kwenye madhabahu ya makanisa yao kwamba wameokoka, wanatembea na Bwana Yesu, lakini ndani ya mioyo yao hakuna ulokole wala uinjilisti zaidi ya blaablaa tu.
ROMANI, KKKT, ANGLIKANA WALIA
Ikazidi kudaiwa kuwa, pigo kubwa la kuwepo na kutanuka kwa makanisa ya kiroho nchini ni kwa Romani Katoliki (chini ya Kaldinali Polycarp Pengo) Walutheri, KKKT (chini ya uongozi wa Alex Malasusa) na Anglikana (lililokuwa likiongozwa na Valentine Mokiwa) ambao miaka ya karibuni makanisa yao yamemegwa, baadhi ya waumini wamekimbilia katika makanisa ya kiroho.
Askofu Alex Malasusa.
Hata hivyo, si waumini wote waliokimbilia kwenye makanisa hayo wapo kwa watumishi wanaodaiwa kutumia hiziri, wengine wapo kwenye makanisa salama.
WATUMISHI WA MUNGU WASAKWA
Kufuatia kufichuka kwa siri hiyo, Uwazi liliwatafuta viongozi mbalimbali wa makanisa nchini ili kuzungumzia madai hayo.
Aliyekuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania  ambaye sasa ni Askofu Mkuu wa Jimbo la Dar es Salaam, Dk. Valentine Mokiwa alipoulizwa juzi na Uwazi kuhusu kuwepo kwa matumizi ya hirizi kwa baadhi ya watumishi wa Mungu, alisema:
“Watu wanasema kuwa nguvu za giza hutumika katika baadhi ya makanisa ya kiroho, lakini kwa upande wangu sijaujua ukweli wala sijathibitisha kwa sababu ni mambo ya kishetani.
“Siku hizi dini imekuwa kama soko  kwani wengi hutumia uongo kanisani  kwa lengo la kuwajaza watu.”
Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo katika Viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam, Josephat Gwajima kwa upande wake alisema wingi wa waumini katika makanisa mbalimbali ya kilokole hutokana na huduma nzuri na mafundisho mema yanayotolewa na wasimamizi wa makanisa hayo.
Kwa upande wake Kiongozi wa Kanisa la Huduma ya Maombezi,  Mbezi Salasala jijini Dar es Salaam, Nabii Flora Peter alisema mtumishi wa Mungu  kutumia hirizi katika kuendesha Neno la Mungu ni dhambi kubwa katika utumishi. 
“Mungu hapendi, kama kuna  mtu wa namna hiyo  basi huyo hafai kuongoza kanisa  kwa sababu dini ni imani ya mtu, sasa haiwezekani utumikie  mabwana wawili,” alisema Nabii Flora.
Makamu wa Askofu Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Magnus Muhiche  yeye alisema hajawahi kuona ila anachokijua wingi wa watu katika makanisa ni sawa  na biashara.
Askofu John Said  wa Kanisa la Victoria lililopo Mabibo External jijini Dar es Salaam alipoulizwa kuhusu hilo  hakupenda kuchangia kitu chochote.
Mchungaji wa Kanisa la Maombezi la Ubungo Kibangu jijini Dar, Lusekelo Anthony ‘Mzee wa Upako’  alipigiwa simu, hakupokea, akatumiwa ujumbe wa simu wa meneno (SMS) hakujibu licha ya ujumbe huo kurudiwa mara mbili kwa saa tofauti.
Mwaka 1993, Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel & Bible Fellowship, Zakaria Kakobe alifanya mkutano wa Injili kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi, Gangilonga, Iringa ambapo baadhi ya wachungaji wa makanisa wa mkoa huo walifika kumshuhudia.
Baada ya mkutano kumaliza, wachungaji hao walisikika wakisema kuwa, walifika kwa lengo la kuthibitisha kwa macho yao uvumi ulionea kwamba, Kakobe anatumia hirizi kuhubiri, hasa wakati wa kuponya wagonjwa akiwa ameishika mkononi.
Wachungaji hao walishangaa mpaka mwisho wa mahubiri, Kakobe hakuwa ameshika hirizi na kumpongeza kwamba, kumbe maneno ya watu juu ya mtumishi huyo wa Mungu hayakuwa na ukweli hasa kwa jinsi alivyoliitia jina la Yesu kuponya watu.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

11 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Uncle samy singida. Co wote wachungaji wa huduma ya YESU KRISTO, wengine ni kweli wana2mia nguvu ya FREEMASON na hawa ndo wanaongoza kwa miujiza, jihadhalin YESU alisema watakuja kwa jina langu kumbe ni mmbwa mwitu. Ukitaka kuwaona angalia PETE zao zina arama ya DEVO

    ReplyDelete
    Replies
    1. JOIN THE GREAT ILLUMINATI TEMPLE Of MONEY POWER, AND FAMOUS
      email worldmoneyilluminati669@gmail.com or call on whatsapp +2349033255083
      Are you a business man or woman, politician, musician, student, star
      and you want to be rich, famous, powerful in life, join the Illuminati brotherhood now immediately with out any delay in life . 6 million dollars
      to you as a new member, and a free home. any where you choose to live in this world and also get 850,000 U.S dollars monthly as a salary...
      BENEFITS GIVEN TO NEW MEMBERS WHO JOIN ILLUMINATI.
      A New Sleek Dream CAR valued
      A Dream House bought in the country of your own choice
      One Month holiday (fully paid) to your dream tourist destination.
      One year Golf Membership package
      A V.I.P treatment in all Airports in the World
      A total Lifestyle change
      Access to Bohemian Grove
      Monthly payment of $750,000 USD into your bank account every month as a member.
      If you are interested email, worldmoneyilluminati669@gmail.com ,, whatsapp +2349033255083 for immediately initiation.New members registration is now open online.

      Delete
  2. WAPO TENA WENGI.

    ReplyDelete
  3. inaweza kuwa kweli maana hii dini ya ukiristu wameigeuza kama biashara.kilasiku makanisa mapya yanaibuka na viongoz wake wanajiita mara mitume,manabii n.k. mpaka mtu unashangaa yaan ni usanii mtupu lakini waumini wao ndo huwaelezi kitu ni wamepumbazika vibaya sana!.

    ReplyDelete
  4. Hivi mbona sikuizi manabii wengi sana ama kweli ni siku za mwisho

    ReplyDelete
  5. Tumia akili kabla kama wewe ni mkristo

    ReplyDelete
  6. HAMNA DINI HAPO

    ReplyDelete
  7. Kipesa zaidi dini ya ukristo

    ReplyDelete
  8. WELCOME TO THE GREAT BROTHERHOOD. ILLUMINATI.contact us now illuminatitemple03@gmail.com or you call/whatsapp our agent number +2347062982173 .? Do you want to be a member of Illuminati as a brotherhood that will make you rich and famous in the world and have power to control people in the high place in the worldwide Are you a business man or woman, artist, politician , musician, student, pastor,Footballer or basket baler do you want to be rich, famous, powerful in life,join the Illuminati brotherhood cult today and get instant rich sum of. 2 million-dollars in a week, and a free home.any where you choose to live in this wonderland also get 10,000,000 U.S dollars monthly as a salary %u2026 BENEFIT GIVEN TO NEW MEMBERS WHO JOIN ILLUMINATI. 1. A Cash Reward of USD$500,000 USD 2. A New Sleek Dream CAR valued at USD $300,000 USD 3.A Dream House bought in the country of your own choice 4. One Month holiday(fully paid) to your dream tourist destination. 5.One year package 6.A V.I.P treatment in all Airports in the World 7.A total Lifestyle change 8.Access to Bohemian Grove 9.Monthly payment of $5,000,000Usdinto your bank account every month as a member 10.One Month booked Appointment with Top 5 world Leaders and Top 5 Celebrities in the World. If you are interested of joining us in the great brotherhood illuminati666 satanic hand symbol contact us now.

    ReplyDelete
  9. WELCOME TO THE GREAT BROTHERHOOD.
    Do you want to be a member of Illuminati as a brotherhood that will make you rich and famous in the world and have power to control people in the high place in the worldwide .Are you a business man or woman,artist, political, musician, student, do you want to be rich, famous, powerful in life, join the Illuminati brotherhood cult today and get instant rich sum of. 2 million dollars in a week, and a free home. any where you choose to live in this world and also get 20,000,000 U.S dollars monthly as a salary %2026
    BENEFITS GIVEN TO NEW MEMBERS WHO JOIN ILLUMINATI.
    1. A Cash Reward of USD $800,000 USD
    2. A New Sleek Dream CAR valued at USD $500,000 USD
    3.A Dream House bought in the country of your own choice
    4. One Month holiday (fully paid) to your dream tourist destination.
    5.One year Golf Membership package
    6.A V.I.P treatment in all Airports in the World 7.A total Lifestyle change 8.Access to Bohemian Grove
    9.Monthly payment of $100,000,000 USD into your bank account every month as a member
    10.One Month booked Appointment with Top 5 world Leaders and Top 5 Celebrities in the World.
    If you are interested of joining us in the great brotherhood illuminati satanic hand symbol contact us now with this number or whatsapp me (+2348083325148 }OR Email- Illuminatimoney66@gmail.com

    ReplyDelete

Top Post Ad