AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tutazidi kuwapa taarifa Kadri tunavyozipata kutoka vyanzo mbalimbali vya habari ikiwemo serikali ya Tanzania ili tuweze kujua kama Taarifa za Kifo ni za kweli fununu zisizo kweli.
Updates :
-------------
Waziri wa Fedha William Mgimwa amefariki dunia leo katika hospitali ya Mediclinic Kloff nchini Afrika Kusini alipokuwa akitibiwa.
Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Katibu Mkuu Kiongozi Ombeni Sefue, ambaye amesema Mgimwa amefariki majira ya saa 5:20 saa za Afrika Kusini ambapo ni sawa na saa 6:20 kwa majira ya Tanzania
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.RIP DR.
ReplyDeleteREST IN PEACE MY DAD , TAIFA LILIKUWA LINAKUHITAJI SANA , ULIKUWA MTU MWEMA MNYENYEKEVU , NAWAPA POLE FAMILIA YOTE YA MGIMWA POPOTE PALE WALIPO
ReplyDelete