AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nilitegemea kuteuliwa kwa mtangazaji mkongwe Nkamia kungewafurahisha waandishi wa habari,lakini inaonekana sivyo.Je, ni kweli Nkamia hafai kuongoza wizara ya habari,au ni chuki binafsi za Meena kwa Nkamia.Nini mapungufu ya Nkamia mpaka akachukiwa kiasi hicho na Meena? Kama si Nkamia,nani anafaa kuongoza wizara husika?.
Source:Jamii Forums
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Izo ni chuki binafsi
ReplyDeleteCHUKI BINAFSI,,ILA ATUKUMBUKE WATU WA GONGOLAMBOTO MWISHO WA LAMIIIII,YEYE ANAJUA
ReplyDeleteHuo ndio ukweli amewekwa kwa makusudi ya kuua vyombo vya habari,tumemsikia mara nyingj bungeni akiwa anapinga jambo hilo,cyo yeye tu hata Migiro ameteuliwa kusimamia sera za chama ili kuikwamiza katiba hasa kipengele cha serikali 3,huko wizara ya fedha ndio usiseme mazingira ya kuchota pesa ya uchaguzi yanaandaliwa,tulio na fikra pevu tulishaliona hilo.
DeleteChuki binafsi hizo by makamaka kwetu
ReplyDeleteBaada ya kuona jina la Nkamia na Nchemba nikawa njiuliza sifa za kuwa waziri ni zipi? Matusi ukiwa bungeni au ni zipi?
ReplyDeleteNafikili matusi yanahusika kwa kiwango kikubwa: Nchemba, Nkamia, Taisoni.
DeleteKingine - inabidi uonyeshe kuichukia Chadema kama mavi na watu wote wanaotetea watanzania.
Ukitimiza haya uwaziri haukawii
Hana sifa
ReplyDeleteElimu ya kutosha pia ni mbunge na ndio sifa pekee za kuwa waziri!
ReplyDeleteUnataka ateuliwe mama yako?
ReplyDelete