LIBYA MABINGWA CHAN 2014

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

TIMU ya taifa ya Libya imetwaa ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) 2014 baada ya kuifunga Ghana kwa penalti 4-3 kufuatia sare ya bila kufungana Jumamosi Uwanja wa Cape Town.

Ushindi huo ni sawa na Libya kulipa kisasi kwa Ghana baada ya kufungwa kwa penalti 7-6 miaka 32 iliyopita kwenye fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hongereni Kwa Ushindi Huo.

    ReplyDelete
  2. Watanzania Tutasubiri Sana

    ReplyDelete
  3. Dah pamoja na vita kwao kila siku kuuana still wanaweza sio Tanzania

    ReplyDelete
  4. Big up sana walibya

    ReplyDelete
  5. WATZ mtaendelea kupongeza timu zawenzenu! wakati timu zenu nikichwa chamwendawazim

    ReplyDelete
  6. tanzania na maendleo ya mfukoni hata kinA mess ronaldo ribery waje kuchezea tz hata hyo chan hatuchukui mpira wa bongo simba na yanga wAtu wanavuna pesa cku zinaenda

    ReplyDelete

Top Post Ad