NYIMBO ZA WATANZANIA ZAWA LULU NIGERIA..BAADA YA DIAMOND NOW VENESSA MDEE

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Baada ya Diamond na Wimbo wake Number 1 Remix aliyo mshirikisha Davido  kushika sana Nigeria na kuwa katika Top ten kwa Muda Mrefu sasa inaonekana kama Milango imefunguka kwa nyimbo za kibongo huko Nigeria ...Kwani sasa tuna Mtanzania Mwingine anaye Tamba huko kwenye Top ten za Radio kubwa kabisa Nigeria THE BEAT 99.9 FM....Wimbo wa Vanessa Mdee Unaoitwa Come Over Unashika Number 5 kwenye Top Ten ya Radio hiyo Kubwa....Cheki Hapa Chini
Udaku Specially
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. big up v money...you deserve it for sure

    ReplyDelete

Top Post Ad