AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ripoti ya kipindi hicho iliyotolewa na kampuni hiyo, inaonesha kuwa ameingia shilingi 31,124 tu. “Mimi picha ninayoipata hapo naweza kusema kuna utapeli,” Ben Po ameiambia Bongo5.
Amesema ameshawahi kuishtaki kampuni nyingine tofauti inayohusika na biashara hiyo baada ya kupewa ripoti ya mapato isiyoridhisha na ndipo alipoufahamu ukweli. “Kwasababu na mtandao pia uliingia kwenye lile sakata na wenyewe wakatoa invoice ambayo walikuwa wanawalipa wale, ni tofauti na hizo ripoti wanazotoa hawa third part. Kwahiyo ni straight kama ni udhulumati,” amesema Ben.
“Mimi najitoa na kampuni zote labda kama mtu aseme ananunua copyright ya kumiliki huo wimbo jumla ambayo watashindwa kwakuwa itakuwa bei kubwa sana.”
-Bongo5
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK