AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Azam FC wameshinda mabao 3-0 dhidi ya Ruvu Shooting katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyochezwa leo kwenye Uwanja wa Mabatini mjini Mlandizi.
Kwa mujibu wa salehjembe.blogspot.com iwapo Azam FC itaifunga Mbeya City katika mechi yake itakayofuata, Azam ambayo sasa ina pointi 56 itatawazwa rasmi kubwa mabingwa.
Katika mechi ya leo magoli ya Azam FC yalifungwa na mshambuliaji mkongwe, Gaudence Mwaikimba, Himid Mao na Kipre Tchetche
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK