AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya Ugomvi wa Jay Z na Shemeji Yake Solange kurekodiwa na Kusambaa Mtandaoni kila kona watu mpaka leo wanajadili kuhusu ugomvi huo lakini wenyewe walishayamaliza na kuyasahau kabisa , Siku ya Pili tu Beyonce alikwenda kumtembelea Mdogo wake Kwake na kupiga picha hiyo hapo juu..
Family Is Everything Bwana...Nyie kaeni kupiga Domo
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
good girls
ReplyDeletebeyonce anafake smile,, muone solange hana ht raha ni kama kalazimishwa
ReplyDelete