AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati huo huo kuna Swali nalojiuliza kila siku unakuta TV za Hapa ndani wanapiga nyimbo za nusu utupu za wanamuziki toka nje vizuri kabisa lakini za wasanii wa kwetu unakuta hata si za nusu uchi ila unakuta mdada kazungusha mauno kidogo tu eti Video inapigwa marufuku mbona hizo za kina Beyonce hamzizuiii?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
kwel kabisa wasanii wanaonewa
ReplyDeleteTz nchi ya maadili uo ukahaba wenu peleka huko
Deletetulinde maadili yetu,
ReplyDeletetz tudumishe utamadun wetu lakin manjonjo muhimu au siyo
ReplyDeleteusenge wamamlaka.
ReplyDeleteTz ina maadili ya mdomoni, kwenye vitendo zero. zile za nje mnazifanyia uhariri au mnakurupuka tu mkiona msanii fulani kuatoa kutu tofauti,mitandao ya kufisadi,picha za ngono,mbona hamfuatilii.
ReplyDelete