AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kuna dada mmoja hivi hakika ni mrembo haswa ninasomea nae kozi moja, huwa kila nikiwa karibu nae mwili unaenda mbio, nakosa hata maneno ya kumtamkia zaidi ya neno "mambo?".
Ila kwa wadada wengine sipatwi na hali kama hii naomba wajuzi wanipe maarifa kuhusu hili, hivi ni uwoga tu ama ndo upendo?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hapo kuna kitu ,ni mapenzi yanayoanzia ndani ya moyo wako siku yakitokeza nje itakuwa patashika.Jaribu kumfuatilia kwa karibu hasa kuhusu tabia kama atakufaa kuoa lianzishe tu.
ReplyDeletekhaaaa acha uwongo mavi wewe naijua hiyo photo
ReplyDelete