AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Picha hapo Juu ni Kabla na Baada ya Dayna Msanii wa Bongo Flava Kujichubua na Kuwa Mweupe Kama Mzungu, hii inamfanya aingie katika list kubwa ya Mastaa wa Bongo waliojikoboa Ngozi na Kubadilika kabisa muonekano,
Swali Langu : Sikuhizi ukiwa Staa ni Lazima Ujichubue ? Kuna Siri Ngani Huko ? na Je Hawaelewi Madhara ya Kujichubua?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hovyo kweli si kidogo,uzuri wa mda mfupi huoooo
ReplyDeleteushamba 2
ReplyDeleteooooh..alikuwa mzuri jamani....
ReplyDeletemalaya 2
ReplyDeleteKawa mbaya na anavaa uchi siku hizi na hasa kuacha tumbo nje.
ReplyDeletekusema kwreli nimekua simpendi kwa kuvaa uchi nq hio kujichakachua
ReplyDeleteKujichubua ni sawa na uteja unatamani kuacha lkn unashindwa coz ukiacha unakua kama nyani.
ReplyDeleteya nu kweli
DeleteAhhaahahhah yan uyu dada alikua ana color nzur tuu ila doooh now kaharibuuuuu vbaya yan pole ako
ReplyDelete