AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hit maker wa ‘Number One’, Diamond Platinumz baada ya kuwarusha mashabiki wake nchini Marekani weekend iliyopita, amepost picha akiwa na masanii mkubwa wa kike wa Nigeria, Tiwa Sawage wakiwa nchini Ghana wiki hii.
Meneja wa Diamond, Babu Tate alinukuliwa na Millardayo.com hivi karibuni kuwa Diamond atasikika tena kwenye collabo nyingine na Davido itakayowahusisha pia Tiwa Savage wa Nigeria na Mafikizolo wa Afrika Kusini ikiwa ni kampeni ya kituo kimoja kikubwa cha TV Afrika.
Bongo5
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK