AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
First lady wa Candy n Candy, Baby Madaha ameachia video ya wimbo wake Nawaponda. Itazame hapa na utoe maoni yako. Ni kali ama kamiss?
Angalia Hapa chini Kisha Comment
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Haina uzuri wowote anamuiga rihana na swaga za shilole.
ReplyDeleteWImbo mbaya sana
ReplyDeleteHuyo anaimba au.anapiga kelele hatumuelew buuudu dadadah ndio nn kama kuimba ndio huko bac hata mm najua
ReplyDeletebora akaimbe mchiriku, uyu dada analazimisha mziki na akati mzik aumtaki
ReplyDeletembona buuuuh! dadadaaa! heheheee vichekesho vya mjini huwa haviishi, nakushauli madaha tafuta biashala ufanye cyo mziki. hujui. mziki kama huu nani ataupiga redioni? utawalaum na ma presenter jamani.
ReplyDeletebora uendelee na fani yako ya kuuza nyapu , mziki waachie wanamuziki cio wewe chokoraa malaya mzee
ReplyDeleteBaby mahaba as u call yoself,muziki is not yo thing fungua duka la vipodozi anza kufanya kazi there is where ur destiny is!yan nkikuangalia kimuziki hauna mvuto licha ya kwamba hujui kuimba
ReplyDeleteJamani mbona kama kazeeka au mi sioni vizuri? Wrincles za kutosha duh!!!! Kiukweli aache ku-copy vya wengine, hamna kitu hapo
ReplyDeletembaya.ila production nzuri sana iko clear
ReplyDelete