AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwenye mchezo wa kwanza, waaandaji wa Michuano Brazil wametinga Robo fainali ya Michuano ya Kombe la Dunia na kuwa timu ya kwanza kutinga robo fainali katika mashindano hayo, baada ya kuifunga Chile kwa mikwaju ya Penati ambapo matokeo yamekuwa tatu kwa mbili
Mauricio Pinilla na Alexis Sanchez ndio walikosa penati , kabla ya Gonzalo Jara kukosa Penati ya Muhimu .
Katika mchezo wenyewe , David Luiz aliipatia Brazil Goli la uongozi baada ya Thiago Silva kuuparaza Mpira na kuunganisha kona iliyopigwa na Neymar’.
Chile walisawazisha Baada ya Eduardo Vargas kuokoa Mpira vibaya na kumfanya goli ambapo mlinzi wa chile Alexis Sanchez kusawazisha .
Kwenye mchezo mwingine uliopigwa leo hii kati ya Uruguay vs Colombia, magoli mawili mazuri kabisa ya james Rodriguez yalitosha kuipeleka Colombia kwenye robo fainali ya michuano ambapo timu hiyo sasa na Brazil.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Costa Rica
ReplyDelete