AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Siku ya Leo Mbunge Zitto Kabwe Amempoteza mtu muhimu sana katika Maisha yake ambaye ni Mama yake Mzazi aliyekuwa Akimuuguza Muda Mrefu sasa, Zitto Ameconfirm kupitia ukurasa wake wa Facebook na Kuandika hivi:
"My mother has just passed away. Inna lillah wainna illaih raajiun"
RIP
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Pole sana kaka inshallah Mungu akutie nguvu kwa msiba mzito ni mipango ya Mungu ila hao boss zako mbowe na Tundu Lisu watakuja kukuhani? maana hawakutambui ww km mbunge wa chadema bali ww ni mbunge wa mahakama! Jack mzalendo.
ReplyDeletePole si inatosha wewe hayomengine yanakujaje sasa we choko nini?
DeleteWe nawe maneno mengiii ya nini? Msiba una chama? Chokochoko tu. Wote ni watanzania tunazikana.
DeleteUmempa pole inatosha hayo mengine sio sehemu yake. Unategemea hapo akujibu nn? Au unataka kumzidishia tu machungu ? Tumuombee mungu amlaze marehemu mahala pema peponi. Amina
ReplyDeletetulikupenda mama yetu ila Allah kakupenda zaidi~rest in peace mummy
ReplyDeletePole sana Kaka kwa kuondokewa na Mama yetu mzazi, Tupo pamoja nawe katika kipindi hiki kigumu.
ReplyDeleteInna lilahi waina illahi rajiuni......hakika ss sote ni wake na ipo siku tutarejea.....ewe mola Wetu mjaaliye marehemu Nyumba iliyobora....pia mjaaliye kaka yetu zito subira na afya njema...
ReplyDeletepole sana kaka Zitto na sie wote twaelekea hukohuko.pumzika kwa aman mammy!!
ReplyDeletePole sana
ReplyDeletezitto mkundu tu kwan yeye nani..
ReplyDelete