TID adai kitu ambacho hawezi kukisahau kwenye maisha yake ni kwenda jela

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mnyama TID amesema kitu ambacho hawezi kukisahau katika maisha yake ni kwenda jela.
“In fact time ambayo nilipata fight nikaenda jela, I was down ,nimeenda jela , so it’s like falling down,” alikiambia kipindi cha XXL.

“Nilivyokuwa nimekaa kula jela and love ambayo nimepata kutoka kwa watu wa mule ndani lakini nimetoka mpaka leo am still shining, lakini ili ilikuwa down fall, Mungu amepanga this guy is an artist, tumembless afanye muziki, inspiration yangu ni kubwa sana, wasanii wengi ambao wamefanya kazi na mimi wamepata hata mafanikio in one way or another kabisa.”

Kwa upande mwingine muimbaji huyo amesema anatarajia kuachia album iitwayo ‘Chumvini’.

“Plan yangu hivi sasa tunatoa album ya Chumvini ,pia tunamaliza kushoot filamu, tumeanza kushoot baadhi ya scene ili tuzipresent kwa sponsor, we have a teaser, lakini tutaendelea kufanya vitu ambavyo tunatakiwa kufanya. Nashukuru ,ungu Jay Mo in the plan , na Jay Mo ni actor mzuri sana he is a comedian.”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad