Manchester United Yammendea Kiungo wa Real Madrid Kwa Dau La £25m

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Klabu ya Manchester United ipo tayari kutoa kiasi cha £25million kwaajili ya kumsajili Angel Di Maria baada ya winga huyo kukiri anaweza kuiacha Real Madrid.

Kwa mujibu wa mtandao wa Merto Sport, maafisa wa Old Trafford wamemuweka Di Maria kuwa miongoni mwa wachezaji wa juu kwenye orodha ya majina ya wachezaji ambayo wanayafanyia kazi. Pia kwa mujibu wa ripoti za Hispania, United wapo tayari kutoa £25million na zaidi ili Di Maria aweze kutua Old Trafford.

Di Maria, ambaye alifunga mabao 11 na kuisaidia Real Madrid msimu uliopita amesema ana furaha kuendelea kuichezea Real Madri na pia anaweza kuiacha klabu hiyo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad