AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya maneno hayo kutua katika dawati la Ijumaa Wikienda, wanahabari wetu walimsaka Aunt ili kumsikia anazungumziaje taarifa hizo ambapo alitiririka:
“Sina gundu na wanaume jamani, uzuri ni kwamba kila niliyeishi naye kulikuwa na sababu za msingi za kuachana. Siyo Jack Pemba wala Hartmann (Mbilinyi).
“Watu wanazungumza tu bila kujua ukweli, hata kwa Sunday Demonte (mumewe wa sasa), yupo vizuri na hajafungwa kama wanavyosema,” alisema Aunt.
Miongoni mwa wanaume walioogelea katika penzi la Aunt kisha kumwagana kwa sababu tofuati ni pamoja na Mwilu Mwilola ‘Silvanus’, Hartman na Jack Pemba.
Quote of The Day:
“You can't depend on your eyes when your imagination is out of focus.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Gundu unalo usijiami vitu vinaonekana unamikosi hufai kuwa mke unafaa kuwa mwanamke cheeefuuuu
ReplyDeletewe unafaa kuliwa na kipita ivi lkn sio mke ww!! myxxxxxxxxuuuiiiiiii
ReplyDeleteGundu hunalu bibi ww utaishia kubeba mabegi ya wema naulivyo nenepeana akutake nani
ReplyDeleteKwel Mwaya una gundu una nuksi na mkos na jin LA umalaya atareeeee!!
ReplyDelete