Picha: Neymar Atembea na Mkanda wa tiba Kiunoni akiwa na Mpenzi Wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hali ya Jeraha la mshambuliaji wa Barcelona Neymar kufuatia kugongwa kwa nyuma wakati wa fainali ya kombe la dunia na kupelekea kufanyiwa upasuaji wa mgongo sasa anaendelea vizuri ambapo amenza kula bata taratibu kwa kutoka na mpenzi wake Bruna Marquezine fukweni nchini Hispania.

Wapenzi hao wamekuwa wakivinjari fukweni Formantera ambapo Neymar amekamilikisha siku za kuendelea kutembea na kitu kilichokuwa kinampa msaada wa mgongo (yaani Back-Support).

Neymar hakucheza michezo miwili ya mwisho ya timu yake ya taifa katika michuano ya kombe la dunia kufuatia kupata kuumia vibaya mgongoni katika mchezo wa robo fainali dhidi ya Colombia.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Upone kaka harakaaa kwa uwanjani tu nakufurahia

    ReplyDelete

Top Post Ad