AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Balotelli ambaye kwa sasa yupo nchini Marekani akijiandaa na msimu mpya kwa pamoja na wachezaji wenzie wa klabu ya AC Milan, jana wakiwa kwenye mechi ya pre season dhidi ya Manchester City, Balotelli akafanya kituko kingine kilichowaacha watu midomo wazi.
Wakati mchezo ukiwa unaendelea mashabiki wawili wa AC Milan waliingia uwanjani na kwenda moja kwa moja kumvamia Mario Balotelli, huku walinzi wakiwa wanawakimbiza kwa nyuma, mashabiki hao wawili walitoa simu na kumuomba Balotelli kupiga nae picha
Balotelli alionyesha kufurahishwa na hilo suala na kutoa ushirikiano kwa mashabiki hao kwa kupozi nao na kupiga ‘selfie’ – kitendo ambacho kiliibua shangwe za kutosha kutoka mashabiki wengine waliojazana kwenye uwanja wa Pittsburgh.
Mchezo huo uliisha kwa Manchester City kuifunga AC Milan 5-1.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ballotelli anakubalika one day atatulia yupo kwa sasa kwenye foolish age. Trust atakuja kuimprove
ReplyDelete